Journalist•| Blogger•| Researcher•| Entrepreneur•| Real patriot•| Prospective husband•| Trapper changes
Tuesday, 24 March 2015
LOWASSA,MAKAMBA ELEWENI HAYA........
Wagombea uraisi kujibizana kwa kukosana harakati
wanazozifanya ili kufikia malengo yao ya kushika
nafasi ya juu zaidi ya kuongoza nchi hii iliyojaa
maziwa na asali ni kujishushia heshima kulingana na
nafasi wanayoitaka ni ya heshima na inayoitaji utii na
hekima ya hali ya juu.
Hivi karibuni watanzania tumeshuhudia wagombea
kadhaa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ie
mbunge wa Monduli na Aliekuwa waziri mkuu Edward
Lowassa na mbunge wa bambuli ambae pia ni Naibu
waziri katika sekta fulani hapa nchini inayohusika na
masuala ya sayansi na teknolojia wakifanya harakati
za wazi kuonyesha uwezo wao.
Lowassa amekuwa akipoke makundi mbalimbali
anayodai/yanayodaiwa kumuomba achukue fomu ya
kugombea nafasi hiyo huku mpinazani wake ndani ya
chama chake ndg J Makamba na team(wafuasi) yake
ikishutumu kuwa Lowassa anaratibu kwa kuhonga.
huku maswali yakibaki kwa wanachama na wananchi
je? Lowassa anayo jeuri ya pesa kiasi cha kuhonga
mamia ya watu?....
Januar Makamba nae amekuwa akiandika vitabu
kufanya vipindi maalumu (#MindSpeak) Ambapo yote
yamekuwa yakiweka maswali kwa team nyingine
zinazonyemelea nafasi hiyo.
Inaonekana Makamba na Lowassa wanatumia
upungufu wa mwenzake bila kujua kuwa Watanzania
waleo tumebadilika na hatukupi kisa wewe ni kijana au
kwa kuwa wewe una jeuri ya pesa.
Naweza Kusema harakati mnazoendeleza watanzania
wanaziona kama mbio za sakafuni, huku chama pinzani
wanachukulia kama vita vya panzi.
Kaka Makamba Na Baba Lowassa kuendeleza harakati
sio vibaya ila kuponda harakati za mwezio ndio
mapungufu yalipo. nawasihi ukiona mapungufu ya
mwenzio yatumie kama
Subscribe to:
Posts (Atom)