Ni mara kadhaa nimekuwa nikiulizwa link ya kupata matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa Tar 18 Feb 2016. Sasa basi Mabibi na mabwana unaweza kuyapata kwa BOFYA HAPA

Mwanadada kunako muziki wa Bongo fleva, Linah Sanga, ametoa yaliyo moyoni kwa kuweka wazi kuwa wasanii wengi wa kike hapa Bongo wameshindwa kufanikiwa kwenye muziki kutokana na kuendekeza majungu badala ya kufanya kazi.
Linah amesema kitendo hicho kimekuwa kikiwarudusha nyuma na kusema ni wakati sasa kwa wasanii wa kike kujitafakari na kufanya kazi kwa ushirikiano.