Tuesday, 25 August 2015

Anguko la soko la hisa bara asia.


Dunia inamkia siku nyingine ya anguko la soko la hisa huko bara la Asia ambapo Japan katika soko kubwa kabisa duniani la hisa limeanguka leo hii huku kukiwa na hofu ya kuporomoka kwa uchumi nchini China.


Soko la hisa la Japan limeanguka kwa asilimia tatu leo jumanne, huko nako nchini Australia soko la hisa likianguka.

Wawekezaji wamekuwa na wasi wasi kutokana na kuanguka kwa soko la hisa huko china ambalo limeanguka kwa asilimia nane nukta tano anguko ambalo ni kubwa kutokea tangu mwaka 2007.




Chanzo:bbcswahili


No comments:

Post a Comment