Friday, 17 July 2015

Liverpool yatenga pauni milioni 32.5 kwa Aston villa

Baada ya Klabu ya Liverpool nchini Uingereza kupokea kitita cha pauni milioni 49 kutoka kwa klabu ya Manchester United kutokana na mauzo ya mchezaji Raheem Starling,imetoa kitita cha pauni milioni 32.5 kwa Aston Villa kwa lengo la kumsajili mshambuliaji wa Ubelgiji Christian Benteke.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 alifunga mabao 12 katika mechi 12 katika msimu wa mwaka 2014-2015 na kuisadia Villa kusalia katika ligi kuu ya Uingereza.

Ikumbukwe Benteke bado amesalia na kandarasi ya miaka 2 katika klabu ya Villa.



#ShadyComTz

No comments:

Post a Comment