Monday, 31 August 2015

Baada ya Nick Minaj kukutana na Miley Cyrus si akamchimba mkwara. soma zaidi

Nick Minaj (Msanii wa hip hop alichukua tuzo ya video bora ya hip hop -Anaconda)


Miley Cyrus (aliyekuwa MC katika tuzo za MTV)


Moja kati ya vitu vilivyoleta mjadala wakati wa ugawajwi wa Tuzo za MTV kwa upande wa wanamuziki wa Marekani ni pale female rapa Nicki Minaj alipomchana MC wa shguhuli hiyo mwanadada Miley Cyrus.

Miley Cyrus. Na Nicki Minaj walikuwa kwenye ugomvi wa maneno kwa muda mrefu hatimaye wawili hao wakakutana ndani ya tuzo hizo na Miley Cyrus ndiye alikuwa MC usiku huo jumapili august 30.

Nicki Minaj alitwa jukwaani kuchukua tuzo yake ya Video bora ya HipHop (Anaconda) na baada ya kuwashukuru wadau wake alimgeukia Miley Cyrus na kumuuliza kwa nini kila siku anamuongelea vibaya?

Miley Cyrus alizuga na kumpngeza Nicki kwa ushndi huo.Haikuweza kujulikana kama hiyo ishu ilipangwa au la pamoja na kuwa uso wa Nicki ulioekana umekasirika.

Nicki alishuka jukwaani na kuelekea sehemu yake ya kukaa huku ukumbi ukifurika kwa kelele za wageni walifika kutokana na maneno ya Nicki kwenda kwa adui wake Miley Cyrus.

No comments:

Post a Comment