Saturday, 20 February 2016

Msanii Juma Nature amefunguka umuhimu wa mashabiki wake. Soma zaidi

Juma Nature

Msanii mkongwe katika gemu ya muziki hapa nchini msanii Juma Nature akizungumza na Times FM ameweka bayana kuwa mashabiki wake ndio wanamfanya aonekane bado yupo juu.

"Mashabiki ndio wananifanya nisishuke kimuziki inawa wapo baadhi ya watu wanasema nimeshuka haa kufkia hatua ya kutokutaka kufanya kazi na mimi , lakini ukweli ni kwamba bado ipo fiti" ameweka bayana Juma Nature

Aliongeza kuwa kujiamini na kuwa na nidhamu ya kikazi ndio inawafanya mashabiki wake kmpenda na kukumbushia kuwa uwezo wake wa kkazi ndio uliomfamya aweze kufaikisha tamasha alilowahi kufanya la ktimiza miaka 16 kwenye fani"

Ikumbukwe msanii Juma Naturealitoa nyimbo yake wiki moja iliyopita unaoenda kwa jina la " Kidaluso" pia vymbo kadhaa vya habari vilimnuuu akisema kuwa anatarajia kufanya kolabo na msanii Yemi Alade kutokea nchini Nigeria.

No comments:

Post a Comment