Sunday, 21 February 2016

Huenda hukupata hii habari kuihusu mechi ya watani wa jadi Young African na Simba SC. full Stori na picha

Mechi ya watani wa jadi Young African na Simba SC iliyotimua vumbi jana Tar Feb 20, 2016 katika viwanja vya taifa jijini Dar iliudhuriwa na baahi ya mawaziri na wabunge wakongozwa na waziri wa habari, tamaduni sanaa na michezo Mh. Nape Moses Nnauye.

NNA2
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (kushoto)walipokutana katika mchezo wa watani wa jadi kati ya Young African na Simba Sports Club katika Uwanja wa Taifa  jijini Dar es Salaam.(Picha na: Frank Shija,WHUSM)
NNA3
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na mashabiki wa mpira wa miguu wakati wa mchezo wa watani wa jadi kati ya Young African na Simba Sports Club katika Uwanja wa Taifa  jijini Dar es Salaam.
NNA4
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na mashabiki wa mpira wa miguu wakati wa mchezo wa watani wa jadi kati ya Young African na Simba Sports Club katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

NNA5
Mabeki wa Timu ya Simba wakiokoa mpira wa hatari katika lango lao wakati wa mechi dhidi ya Yanga iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa  jijini Dar es Salaam.
NNA7
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba akishangilia mara baada ya Donald Ngoma kuiandikia Yanga bao la kwanza mnamo Dakika ya 38 ya mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. 
NNA8
Mbunge wa Jimbo la Kilolo mkoani Iringa, Mhe. Venance Mwamoto akifuatilia mchezo kati ya Young African na Simba SC uliofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. 
NNA9
Mashabiki wa Timu ya Simba SC wakifuatilia mchezo kati yao na Yanga Afrika uliofanyika katika Uwanja wa Taifa leo jijini Dar es Salaam. 

NNA2
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba (kushoto)walipokutana katika mchezo wa watani wa jadi kati ya Young African na Simba Sports Club katika Uwanja wa Taifa jana jijini Dar es Salaam.(Picha na: Frank Shija,WHUSM)
NNA3
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na mashabiki wa mpira wa miguu wakati wa mchezo wa watani wa jadi kati ya Young African na Simba Sports Club katika Uwanja wa Taifa jana jijini Dar es Salaam.
NNA4
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye akisalimiana na mashabiki wa mpira wa miguu wakati wa mchezo wa watani wa jadi kati ya Young African na Simba Sports Club katika Uwanja wa Taifa jana jijini Dar es Salaam.

NNA5
Mabeki wa Timu ya Simba wakiokoa mpira wa hatari katika lango lao wakati wa mechi dhidi ya Yanga iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa jana jijini Dar es Salaam.
NNA7
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe. Mwigulu Lameck Nchemba akishangilia mara baada ya Donald Ngoma kuiandikia Yanga bao la kwanza mnamo Dakika ya 38 ya mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Taifa leo jijini Dar es Salaam. 
NNA8
Mbunge wa Jimbo la Kilolo mkoani Iringa, Mhe. Venance Mwamoto akifuatilia mchezo kati ya Young Afrika na Simba SC uliofanyika katika Uwanja wa Taifa leo jijini Dar es Salaam. 
NNA9
Mashabiki wa Timu ya Simba SC wakifuatilia mchezo kati yao na Yanga uliofanyika katika Uwanja wa Taifa leo jijini Dar es Salaam. Hadi dakika 90 zinayoyoma Simba SC ililala kwa mabao 2 : 0

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI TAREHE 21 FEB 2016

Katika mwendelezo wa kukujal ndugu mfatiliaji wa machapisho yetu nimekuwekea kurasa za juu za magazeti ya Tanzania, Leo Jumapili ya Feb 21.2016

Saturday, 20 February 2016

Kwa wale ambao bado hawajapata kutazama matokeo kidato cha nne 2015 haya hapa.

Ni mara kadhaa nimekuwa nikiulizwa link ya kupata matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa Tar 18 Feb 2016. Sasa basi Mabibi na mabwana unaweza kuyapata kwa BOFYA HAPA

Vijana wa skauti watupiwa macho na Mh. Magufuli.



Serikali inaangalia uwezekano wa kuanza kuwatumia vijana wa skauti katika vyombo vya ulinzi na usalama huku ikiwaagiza wakurugenzi wa halmashauri kuwaruhusu walimu kushiriki katika shughuli za skauti.

Hayo yameelezwa na Rais DR. JOHN POMBE MAGUFULI katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa DKT HUSEIN MWINYI na pia kuagiza halmashauri zote nchini kuhakikisha zinavilinda kikamilifu vyama vya skauti ili visife bila sababu za msingi.


Rais wa Skauti Tanzania Profesa JOYCE NDALICHAKO ambaye pia ni Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi licha ya kupongeza juhudi kubwa zinazofanywa na uongozi mpya wa skauti kukiimarisha chama hicho, amesema ni vema chama kikaangalia uwezekano wa kuongeza wigo wa kuwapata vijana wengi zaidi.


Akitoa maelezo ya utendaji kazi wa chama hicho tangu uanze uongozi mpya mwaka 2013, Kamishina Mkuu wa Skauti Tanzania ABDULKARIM SHAH amesema kazi kubwa wanayoifanya  kwa sasa ni kuhakikisha wanarejesha heshima ya chama hicho iliyokuwa imepotea kwa miaka kadhaa.


Chanzo: ITV Tanzania

Fursa: Johari anatafuta kijana wa kiume (Mchumba) wa kuwa nae maishani.




Mwigizaji mkongwe wa Bongo movie Blandina Chagula 'Johari' amesema kwa sasa anatafuta kijana wa kuwa naye katika maisha.


 "Mimi kwa sasa nipo mwenyewe (Single) akitokea kijana mwenye malengo na mwenye dhamira ya kweli nipo tayari kuwa naye"  amesema Johari

Majungu yanaturudisha nyuma wasanii wa kike- Lina.


Mwanadada kunako muziki wa Bongo fleva, Linah Sanga, ametoa yaliyo moyoni kwa kuweka wazi kuwa wasanii wengi wa kike hapa Bongo wameshindwa kufanikiwa kwenye muziki kutokana na kuendekeza majungu badala ya kufanya kazi.
Linah amesema kitendo hicho kimekuwa kikiwarudusha nyuma na kusema ni wakati sasa kwa wasanii wa kike kujitafakari na kufanya kazi kwa ushirikiano.
Mwanadada kunako muziki wa Bongo fleva, Linah Sanga, ametoa yaliyo moyoni kwa kuweka wazi kuwa wasanii wengi wa kike hapa Bongo wameshindwa kufanikiwa kwenye muziki kutokana na kuendekeza majungu badala ya kufanya kazi.
Linah amesema kitendo hicho kimekuwa kikiwarudusha nyuma na kusema ni wakati sasa kwa wasanii wa kike kujitafakari na kufanya kazi kwa ushirikiano.

Msanii Juma Nature amefunguka umuhimu wa mashabiki wake. Soma zaidi

Juma Nature

Msanii mkongwe katika gemu ya muziki hapa nchini msanii Juma Nature akizungumza na Times FM ameweka bayana kuwa mashabiki wake ndio wanamfanya aonekane bado yupo juu.

"Mashabiki ndio wananifanya nisishuke kimuziki inawa wapo baadhi ya watu wanasema nimeshuka haa kufkia hatua ya kutokutaka kufanya kazi na mimi , lakini ukweli ni kwamba bado ipo fiti" ameweka bayana Juma Nature

Aliongeza kuwa kujiamini na kuwa na nidhamu ya kikazi ndio inawafanya mashabiki wake kmpenda na kukumbushia kuwa uwezo wake wa kkazi ndio uliomfamya aweze kufaikisha tamasha alilowahi kufanya la ktimiza miaka 16 kwenye fani"

Ikumbukwe msanii Juma Naturealitoa nyimbo yake wiki moja iliyopita unaoenda kwa jina la " Kidaluso" pia vymbo kadhaa vya habari vilimnuuu akisema kuwa anatarajia kufanya kolabo na msanii Yemi Alade kutokea nchini Nigeria.