Tumeshuhudia wasanii wengi wa bongo Movie na Bongo fleva wakijitokeza kuonyesha kumsapoti mgombea/Chama fulani cha siasa ikiwemo kwa kuwapigia kampeni majukwaani na kwa kutumia mitandao ya kijamii waliyomo.
Wamo waliojitolea kutumia vipaji vyao vya kisanaa kutoa sapoti kwa baadhi ya wagombea hao. HApa nimekuwekea wimbo wa Nicki Mbishi aliomwimbia mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kwa mwavuli wa UKAWA Hm. Edward Lowassa. Click HAPA KUDOWNLOAD kusikia aliyoyasema Nick Mbishi
Wamo waliojitolea kutumia vipaji vyao vya kisanaa kutoa sapoti kwa baadhi ya wagombea hao. HApa nimekuwekea wimbo wa Nicki Mbishi aliomwimbia mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kwa mwavuli wa UKAWA Hm. Edward Lowassa. Click HAPA KUDOWNLOAD kusikia aliyoyasema Nick Mbishi
No comments:
Post a Comment