Friday, 11 September 2015

Full interview ya Tommy Thomas na Evance Lyatuu.

Nimekuwekea interview  kati ya Msanii Tommy Thomas na Exelent Boy Evance Lyatuu iliyofanyika Moshi Fm katika kipindi cha Top fleva kinachofanyika kila ijumaa.
Tommy Thomas akiwa katika pozi kali.

Tommy Thomas akiwa amesimama ndani ya studio namba 2 za Moshi Fm tayari kwa interview katikati ni Shadrack Mafie na wakwanza ni Simon Salvatory wakifatilia mahojiano.

Moja kati ya mambo aliyofunguka ni kuhusu ishu kugombana na maproduser amapo amesema ni kweli amewahi kugombana na moja kati ya produser wake kwa kuwa alikuwa akizungushwa sana kwa kitendo cha kuambiwa kuwa asubiri kila akitaka kufanyiwa kazi. Akaongeza kuwa ilishafikia hatua ya kurekodi pembeni kukiwa na polisi.


Pia Tommy Thomas  anaetamba na nyimbo  yake mpya ya Twende aliyoshirikiana na Wolter Chilambo ameweka wazi wazo lake la kutoa video ya wimbo wake hivyo mashabiki wake wajiandae kupata mambo mazuri kutoka kwake.


× Mazingira aliyokulia nje ya muziki
×Amezungumziwa na ishu ya wimbo wa Roma Mkatoliki kufungiwa.
×Pia amemtaja nani anafaa kuwa raisi yote hayo yapo katika audio hii Click hapa  FULL INTERVIEW  kuisikiliza.

No comments:

Post a Comment